Tuesday 2 August 2016

Kuonyesha mapenzi yake makubwa na klabu, bilionea Mo Dewji ameipatia Simba kitita cha shilingi milioni mia moja kwa ajiliya usajiliMfanyabiashara anayetaka kuwekeza kwenye klabu ya Simba Mohamed Dewji 'MO' leo ameukabidhi uongozi wa timu hiyo Sh milioni mia moja kwa ajili ya kusaidia usajili.MO amesema kuwa hiyo ilikuwa ni moja yaahadi zake kutokana na mapenzi aliyokuwa nayo kwenye klabu hiyo kubwa nchini."Hata kama uongozi hawata ridhia mabadiliko ya Mimi kuwekeza billion 20 kwa kupewa hisa 51 haina shida nimetoa pesa hizo kwa mapenzi yangu na Simba," amesema MO.Uongozi wa Simba ulimuomba msaada bilionea huyo kuwapa hela za usajili ili waweze kusajili wachezaji wazuri watakapoifanyia mambo makubwa timu hiyo.Rais wa klabu ya Simba Evans Aveva amewatuliza wanachama wa klabu hiyo nakwa kuwataka kuwa na subira na swala wanalo litaka la mabadiliko ndani ya klabu hiyo chini ya mwekezaji Mohamed Dewji ‘MO’ watalipitisha.Aveva ameiambia Goal, wameona wapitishe mabadiliko hayo baada ya kugundua yana tija kubwa kwa klabu yao katika uendeshaji na hata kurudisha mafanikio ya timu hiyo hivyo muda si mrefu watapitisha mpango huo na kuwaafahamisha wanachama wao.“Tunatarajia kukutana na MO, kwa ajili ya kuweka sawa mambo flaniflani na ninaamini baada ya kikao hicho mambo yote yatakuwa sawa na tutamkabidhi tajiri huyo asilimia 51, ya hisa ili aweze kuiendesha timu na kutupa mafanikio kama ambavyo aliahidi,” amesema Aveva.Rais huyo nusura apigwe na wanachama hao Jumapili kwenye mkutano mkuu wa klabu hiyo baada ya kugoma kuipitisha agenda ya 9, ambayo ilikuwa inazungumzia mabadiliko, kwa klabu hiyo kukabidhiwa Mohamed Dewji.

MO AANZA AMWAGA HELA MSIMBAZI

Posted at  11:14  |  in    |  Read More»

Kuonyesha mapenzi yake makubwa na klabu, bilionea Mo Dewji ameipatia Simba kitita cha shilingi milioni mia moja kwa ajiliya usajiliMfanyabiashara anayetaka kuwekeza kwenye klabu ya Simba Mohamed Dewji 'MO' leo ameukabidhi uongozi wa timu hiyo Sh milioni mia moja kwa ajili ya kusaidia usajili.MO amesema kuwa hiyo ilikuwa ni moja yaahadi zake kutokana na mapenzi aliyokuwa nayo kwenye klabu hiyo kubwa nchini."Hata kama uongozi hawata ridhia mabadiliko ya Mimi kuwekeza billion 20 kwa kupewa hisa 51 haina shida nimetoa pesa hizo kwa mapenzi yangu na Simba," amesema MO.Uongozi wa Simba ulimuomba msaada bilionea huyo kuwapa hela za usajili ili waweze kusajili wachezaji wazuri watakapoifanyia mambo makubwa timu hiyo.Rais wa klabu ya Simba Evans Aveva amewatuliza wanachama wa klabu hiyo nakwa kuwataka kuwa na subira na swala wanalo litaka la mabadiliko ndani ya klabu hiyo chini ya mwekezaji Mohamed Dewji ‘MO’ watalipitisha.Aveva ameiambia Goal, wameona wapitishe mabadiliko hayo baada ya kugundua yana tija kubwa kwa klabu yao katika uendeshaji na hata kurudisha mafanikio ya timu hiyo hivyo muda si mrefu watapitisha mpango huo na kuwaafahamisha wanachama wao.“Tunatarajia kukutana na MO, kwa ajili ya kuweka sawa mambo flaniflani na ninaamini baada ya kikao hicho mambo yote yatakuwa sawa na tutamkabidhi tajiri huyo asilimia 51, ya hisa ili aweze kuiendesha timu na kutupa mafanikio kama ambavyo aliahidi,” amesema Aveva.Rais huyo nusura apigwe na wanachama hao Jumapili kwenye mkutano mkuu wa klabu hiyo baada ya kugoma kuipitisha agenda ya 9, ambayo ilikuwa inazungumzia mabadiliko, kwa klabu hiyo kukabidhiwa Mohamed Dewji.

Investment Opportunities

The Ministry has many potential areas for local and foreign investment. The investment opportunities are available in Tourism, Antiquities, Forestry and Beekeeping and Wildlife sectors.

Favorable National Investment Climate
Regarding investment climate, Tanzania ranked first in a report titled “The Africa Competitiveness Report 2000/2001”, benchmarking macro economic and investment climate success factors. It was followed by Morocco, Mozambique, Nigeria and Uganda. That been the case, it reveals that the comprehensive economic and political reform measures undertaken since mid 1986, have progressively brought about an efficient economic management, financial discipline and a framework for a dynamic high growth economy.
Tanzania is also free of ideological confrontations, ethnic problems and labor disputes. Therefore, it is a centre of economic and political stability in sub-Saharan Africa. Thus, the pro-investment attitude by Government is clearly demonstrated by the innovative investment legislation, the increasing number of foreign direct investment in the country and economic and structural reforms that have led to substantial progress in establishing a functioning market economy.
Key Government Institutions:
The Tanzania Investment Centre (TIC) is the one-stop centre for investment and should be the first contact for all investors. TIC offers a range of services to potential investors, including investment incentives and advice on how to move through the investment process easily. A number of key government agencies are represented at TIC, including Immigration, Ministry of Lands, Tanzania Revenue Authority, among others. TIC can also arrange meetings for investors with other key agencies to facilitate the investment process.
The Ministry of Natural Resources and Tourism (MNRT) is the lead technical agency responsible for tourism development (Natural and Cultural), and is therefore an important contact for potential investors. The Tourism and Antiquities Divisions can provide valuable information to investors in terms of the current status of the tourism sector, the outlook for cultural tourism growth, and potential areas for development of tourist hotels, resorts, lodges, restaurants, and camp sites.

Investments Opportunities

Posted at  09:55  |  in  mchanganyiko  |  Read More»

Investment Opportunities

The Ministry has many potential areas for local and foreign investment. The investment opportunities are available in Tourism, Antiquities, Forestry and Beekeeping and Wildlife sectors.

Favorable National Investment Climate
Regarding investment climate, Tanzania ranked first in a report titled “The Africa Competitiveness Report 2000/2001”, benchmarking macro economic and investment climate success factors. It was followed by Morocco, Mozambique, Nigeria and Uganda. That been the case, it reveals that the comprehensive economic and political reform measures undertaken since mid 1986, have progressively brought about an efficient economic management, financial discipline and a framework for a dynamic high growth economy.
Tanzania is also free of ideological confrontations, ethnic problems and labor disputes. Therefore, it is a centre of economic and political stability in sub-Saharan Africa. Thus, the pro-investment attitude by Government is clearly demonstrated by the innovative investment legislation, the increasing number of foreign direct investment in the country and economic and structural reforms that have led to substantial progress in establishing a functioning market economy.
Key Government Institutions:
The Tanzania Investment Centre (TIC) is the one-stop centre for investment and should be the first contact for all investors. TIC offers a range of services to potential investors, including investment incentives and advice on how to move through the investment process easily. A number of key government agencies are represented at TIC, including Immigration, Ministry of Lands, Tanzania Revenue Authority, among others. TIC can also arrange meetings for investors with other key agencies to facilitate the investment process.
The Ministry of Natural Resources and Tourism (MNRT) is the lead technical agency responsible for tourism development (Natural and Cultural), and is therefore an important contact for potential investors. The Tourism and Antiquities Divisions can provide valuable information to investors in terms of the current status of the tourism sector, the outlook for cultural tourism growth, and potential areas for development of tourist hotels, resorts, lodges, restaurants, and camp sites.

Sunday 31 July 2016

1.Usajili majira ya joto ulaya watikisa
2.Mkutano wa Simba s c makubwa ya ibuka
3. Rais magufuri apiga marufuku kodi kwa wakulima wadogowadogo

Habari mchanganyiko

Posted at  11:58  |  in    |  Read More»

1.Usajili majira ya joto ulaya watikisa
2.Mkutano wa Simba s c makubwa ya ibuka
3. Rais magufuri apiga marufuku kodi kwa wakulima wadogowadogo

Thursday 19 December 2013

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo December 19 2013

Posted at  07:29  |  in  skendo  |  Read More»

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

mark x-1mark x-2
mark x-3Kama bado huamini kuwa mziki wa bongofleva unalipa basi wewe hautakuwa mzima. Kwa siku za hivi karibuni tumeona wasanii wa bongo wakiwa wanafanya maendeleo ambayo ni ishara tosha kuwa kazi wanayoifanya inawalipa sana, japokuwa kuna misukosuko kibao. Tumemuana Diamond na Prado lake, Ney wa Mitego na Mark X, Ommy Dimpoz na pia sasa Barnaba nae kaamua kutungua kitu kama mnavyokiona kwenye picha hapo juu. HII NDIO GARI MPYAA YA BARNABA, MPE HONGERA ZAKE MAANA USAFIRI HUU SI CHINI YA MIL 30. BIG UP

BARNABA ANUNUA GARI JIPYA

Posted at  07:16  |  in  skendo  |  Read More»

mark x-1mark x-2
mark x-3Kama bado huamini kuwa mziki wa bongofleva unalipa basi wewe hautakuwa mzima. Kwa siku za hivi karibuni tumeona wasanii wa bongo wakiwa wanafanya maendeleo ambayo ni ishara tosha kuwa kazi wanayoifanya inawalipa sana, japokuwa kuna misukosuko kibao. Tumemuana Diamond na Prado lake, Ney wa Mitego na Mark X, Ommy Dimpoz na pia sasa Barnaba nae kaamua kutungua kitu kama mnavyokiona kwenye picha hapo juu. HII NDIO GARI MPYAA YA BARNABA, MPE HONGERA ZAKE MAANA USAFIRI HUU SI CHINI YA MIL 30. BIG UP

Thursday 5 September 2013




Low: Madrid selling Ozil is incomprehensibleThe 24-year-old joined the north London club for a club record fee of €50 million after making 159 appearances for the Spanish giants, and Low simply cannot understand why los Blancos chose to get rid of him.

"For me, it is a bit incomprehensible that Real Madrid would get rid of one of their best players, who is of a high quality and looked more decisive than ever last season," Low told reporters.

"Mesut still needs to feel as though he has complete confidence from his coach.

"From what I heard from Madrid ahead of the transfer, you could feel that the trust was no longer there 100 per cent. Arsenal tried hard to sign him. That did him good.

"Ozil's Arsenal move will be a good transfer for the national team because he will play for a team which has an overall great technique - that is good for him."

Germany will be without Bayern Munich's Mario Gotze for their crucial World Cup qualifiers starting this week, and Low admits he is anxious over the midfielder's fitness following injury problems earlier this year.

"For him it's really bad, for Bayern as well, suffering another major injury, shortly after recovering from a previous one. He will have to fight back," Low said.
"I hope he finds his rhythm back quickly and he will be an outstanding player.
"In 2012 he suffered the same with being out for six months. Now the World Cup is coming closer, so we really hope he won’t be injured too much and too often.

JOAKIM LOW: Madrid selling Ozil is incomprehensible

Posted at  05:58  |  in  nje  |  Read More»




Low: Madrid selling Ozil is incomprehensibleThe 24-year-old joined the north London club for a club record fee of €50 million after making 159 appearances for the Spanish giants, and Low simply cannot understand why los Blancos chose to get rid of him.

"For me, it is a bit incomprehensible that Real Madrid would get rid of one of their best players, who is of a high quality and looked more decisive than ever last season," Low told reporters.

"Mesut still needs to feel as though he has complete confidence from his coach.

"From what I heard from Madrid ahead of the transfer, you could feel that the trust was no longer there 100 per cent. Arsenal tried hard to sign him. That did him good.

"Ozil's Arsenal move will be a good transfer for the national team because he will play for a team which has an overall great technique - that is good for him."

Germany will be without Bayern Munich's Mario Gotze for their crucial World Cup qualifiers starting this week, and Low admits he is anxious over the midfielder's fitness following injury problems earlier this year.

"For him it's really bad, for Bayern as well, suffering another major injury, shortly after recovering from a previous one. He will have to fight back," Low said.
"I hope he finds his rhythm back quickly and he will be an outstanding player.
"In 2012 he suffered the same with being out for six months. Now the World Cup is coming closer, so we really hope he won’t be injured too much and too often.

Ni aibu nyingine ndani ya bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania baada ya vurugu kubwa kutokea Bungeni leo, ambapo askari wa Bunge walikuwa wakivutana na Wabunge wa kambi ya upinzani waliokuwa wakipinga amri ya Naibu Spika ya kumtoa nje kiongozi wa kambi ya upinzania Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe.
Vurugu kubwa zimetokea Bungeni hivi sasa mara baada ya Naibu Spika kutoa amri ya kutolewa nje kwa kiongozi wa kambi ya upinzania Bungeni Freeman Mbowe ambapo wabunge wa kambi ya upinzani hawakukubaliana na amri hiyo.
Chanzo cha kutolewa kwa amri hiyo ni kutokana na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe kusimama na kuanza kuzungumza pasipo kupewa ruhusa ili apinge uamuzi wa kura zilizopigwa na Wabunge ambapo Bunge lilipiga kura ya kuuondoa mjadala wa mswada wa katiba au ubaki ambapo wabunge 56 walisema mjadala huo uondolewe na Wabunge 159 walisema mjadala huo uendelee kwani ulishapita kwenye hatua mbalimbali.
Mara baada ya zoezi la upigaji kura kuisha Naibu Spika Job Ndugai aliendelea na utaratibu wa Bunge ambapo alimsimamisha Mhe. Mrema achangie mjadala na wakati huo huo Mhe. Mbowe naye alisimama kupinga uamuzi wa Naibu Spika na ndipo alipotoa amri kwa askari wa Bungeni wamtoe nje ya ukumbi wa Bunge na walifanikiwa kumtoa nje mara baada ya mvutano mkali kati ya Wabunge wa kambi ya upinzania dhidi ya polisi. Kwa maoni ya watanzania wengi imefika mahali ambapo ina bidi wabunge waweke maslahi ya taifa mbele. Hivi walichogomea upinzani kina maslahi yapi au hasara zipi kwa taifa? mmoja ya watazamaji wa bunge alihoji. Kuna mambo yanahitaji busara na uelewa ili maafikiano ya hoja yafikiwe aliongeza. Imefika mahali ushabiki usio na tija kwa watanzania tuachane nao. Hata hivyo bunge liliendelea na mjadala wa muswada wa marekebisho ya sheria ya utungwaji katiba mpya. 
Wakati huohuo mbunge wa vunjo mh. Mrema akichangia hoja hiyo ameweka wazi kwanini yeye hakutoka jana wala leo wakati kambi ya upinzani ikitoka bungeni. Mh. Mrema amesema yeye yupo bungeni kuwawakilisha wananchi wa vunjo na watanzania hivyo haoni busara kutoka nje na kuacha hoja ya msingi.

KIONGOZI WA KAMBI YA UPINZANIA MH. FREEMAN MBOWE ATOLEWA BUNGENI LEO NA KUSABABISHA VURUGU KATI YA WABUNGE WA UPINZANI NA ASKARI WA BUNGE

Posted at  05:49  |  in  skendo  |  Read More»

Ni aibu nyingine ndani ya bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania baada ya vurugu kubwa kutokea Bungeni leo, ambapo askari wa Bunge walikuwa wakivutana na Wabunge wa kambi ya upinzani waliokuwa wakipinga amri ya Naibu Spika ya kumtoa nje kiongozi wa kambi ya upinzania Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe.
Vurugu kubwa zimetokea Bungeni hivi sasa mara baada ya Naibu Spika kutoa amri ya kutolewa nje kwa kiongozi wa kambi ya upinzania Bungeni Freeman Mbowe ambapo wabunge wa kambi ya upinzani hawakukubaliana na amri hiyo.
Chanzo cha kutolewa kwa amri hiyo ni kutokana na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe kusimama na kuanza kuzungumza pasipo kupewa ruhusa ili apinge uamuzi wa kura zilizopigwa na Wabunge ambapo Bunge lilipiga kura ya kuuondoa mjadala wa mswada wa katiba au ubaki ambapo wabunge 56 walisema mjadala huo uondolewe na Wabunge 159 walisema mjadala huo uendelee kwani ulishapita kwenye hatua mbalimbali.
Mara baada ya zoezi la upigaji kura kuisha Naibu Spika Job Ndugai aliendelea na utaratibu wa Bunge ambapo alimsimamisha Mhe. Mrema achangie mjadala na wakati huo huo Mhe. Mbowe naye alisimama kupinga uamuzi wa Naibu Spika na ndipo alipotoa amri kwa askari wa Bungeni wamtoe nje ya ukumbi wa Bunge na walifanikiwa kumtoa nje mara baada ya mvutano mkali kati ya Wabunge wa kambi ya upinzania dhidi ya polisi. Kwa maoni ya watanzania wengi imefika mahali ambapo ina bidi wabunge waweke maslahi ya taifa mbele. Hivi walichogomea upinzani kina maslahi yapi au hasara zipi kwa taifa? mmoja ya watazamaji wa bunge alihoji. Kuna mambo yanahitaji busara na uelewa ili maafikiano ya hoja yafikiwe aliongeza. Imefika mahali ushabiki usio na tija kwa watanzania tuachane nao. Hata hivyo bunge liliendelea na mjadala wa muswada wa marekebisho ya sheria ya utungwaji katiba mpya. 
Wakati huohuo mbunge wa vunjo mh. Mrema akichangia hoja hiyo ameweka wazi kwanini yeye hakutoka jana wala leo wakati kambi ya upinzani ikitoka bungeni. Mh. Mrema amesema yeye yupo bungeni kuwawakilisha wananchi wa vunjo na watanzania hivyo haoni busara kutoka nje na kuacha hoja ya msingi.

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 BONGO MAGAZINE 1. by Mdakuzi
Proudly Powered by Blogger.
back to top