Kuonyesha mapenzi yake makubwa na klabu, bilionea Mo Dewji ameipatia Simba kitita cha shilingi milioni mia moja kwa ajiliya usajiliMfanyabiashara anayetaka kuwekeza kwenye klabu ya Simba Mohamed Dewji 'MO' leo ameukabidhi uongozi wa timu hiyo Sh milioni mia moja kwa ajili ya kusaidia usajili.MO amesema kuwa hiyo ilikuwa ni moja yaahadi zake kutokana na mapenzi aliyokuwa nayo kwenye klabu hiyo kubwa nchini."Hata kama uongozi hawata ridhia mabadiliko ya Mimi kuwekeza billion 20 kwa kupewa hisa 51 haina shida nimetoa pesa hizo kwa mapenzi yangu na Simba," amesema MO.Uongozi wa Simba ulimuomba msaada bilionea huyo kuwapa hela za usajili ili waweze kusajili wachezaji wazuri watakapoifanyia mambo makubwa timu hiyo.Rais wa klabu ya Simba Evans Aveva amewatuliza wanachama wa klabu hiyo nakwa kuwataka kuwa na subira na swala wanalo litaka la mabadiliko ndani ya klabu hiyo chini ya mwekezaji Mohamed Dewji ‘MO’ watalipitisha.Aveva ameiambia Goal, wameona wapitishe mabadiliko hayo baada ya kugundua yana tija kubwa kwa klabu yao katika uendeshaji na hata kurudisha mafanikio ya timu hiyo hivyo muda si mrefu watapitisha mpango huo na kuwaafahamisha wanachama wao.“Tunatarajia kukutana na MO, kwa ajili ya kuweka sawa mambo flaniflani na ninaamini baada ya kikao hicho mambo yote yatakuwa sawa na tutamkabidhi tajiri huyo asilimia 51, ya hisa ili aweze kuiendesha timu na kutupa mafanikio kama ambavyo aliahidi,” amesema Aveva.Rais huyo nusura apigwe na wanachama hao Jumapili kwenye mkutano mkuu wa klabu hiyo baada ya kugoma kuipitisha agenda ya 9, ambayo ilikuwa inazungumzia mabadiliko, kwa klabu hiyo kukabidhiwa Mohamed Dewji.








































Kama
bado huamini kuwa mziki wa bongofleva unalipa basi wewe hautakuwa
mzima. Kwa siku za hivi karibuni tumeona wasanii wa bongo wakiwa
wanafanya maendeleo ambayo ni ishara tosha kuwa kazi wanayoifanya
inawalipa sana, japokuwa kuna misukosuko kibao. Tumemuana Diamond na
Prado lake, Ney wa Mitego na Mark X, Ommy Dimpoz na pia sasa Barnaba nae
kaamua kutungua kitu kama mnavyokiona kwenye picha hapo juu. HII NDIO
GARI MPYAA YA BARNABA, MPE HONGERA ZAKE MAANA USAFIRI HUU SI CHINI YA
MIL 30. BIG UP
The 24-year-old joined the north London club for a club record fee of
€50 million after making 159 appearances for the Spanish giants, and Low
simply cannot understand why los Blancos chose to get rid of him.
Ni aibu nyingine ndani ya bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania baada ya vurugu kubwa kutokea Bungeni leo, ambapo askari wa Bunge walikuwa
wakivutana na Wabunge wa kambi ya upinzani waliokuwa wakipinga amri ya
Naibu Spika ya kumtoa nje kiongozi wa kambi ya upinzania Bungeni, Mhe.
Freeman Mbowe.

