Thursday 19 December 2013

BARNABA ANUNUA GARI JIPYA

Posted at  07:16  |  in  skendo

mark x-1mark x-2
mark x-3Kama bado huamini kuwa mziki wa bongofleva unalipa basi wewe hautakuwa mzima. Kwa siku za hivi karibuni tumeona wasanii wa bongo wakiwa wanafanya maendeleo ambayo ni ishara tosha kuwa kazi wanayoifanya inawalipa sana, japokuwa kuna misukosuko kibao. Tumemuana Diamond na Prado lake, Ney wa Mitego na Mark X, Ommy Dimpoz na pia sasa Barnaba nae kaamua kutungua kitu kama mnavyokiona kwenye picha hapo juu. HII NDIO GARI MPYAA YA BARNABA, MPE HONGERA ZAKE MAANA USAFIRI HUU SI CHINI YA MIL 30. BIG UP

Share this post

Kuhusu Mdaku Orijino

Tunafichua maovu, uozo na taka taka zoote wanazofanya watu wasio na staha. Unapicha yoyote habari yoyote ya washenzi wa tabia, tucheki tuwaanikeGoogle+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 BONGO MAGAZINE 1. by Mdakuzi
Proudly Powered by Blogger.
back to top