Wednesday, 24 October 2012

Kinyang'anyiro cha urais Marekani-Midahalo yaendelea kati Obama na Romney

Posted at  08:41  |  in  siasa

Rais Obama Ajibu Mapigo Na Kushinda Kwenye Mdahalo Na Romney

Rais wa Marekani Barack Obama ameweza kujibu mapigo kwa kumgaragaza mpinzani wake Gavana Mitt Romney katika mdahalo wa uchaguzi wa Rais nchini Marekani.

Mdahalo huo ambao ulifanyika usiku wa Jumanne tarehe 16 Oktoba katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Hofstra kat

News By Staff Reporter

Rais Obama Agalagazwa Na Romney Kwenye Mdahalo Urais Marekani

Rais wa Marekani Barack Obama jana aligalagazwa vibaya na mpinzani wake Mitt Romney kwenye mdahalo wa uchaguzi mkuu wa Rais wa Marekani uliofanyika katika jiji la Denver katika jimbo la Colorado.


Share this post

Kuhusu Mdaku Orijino

Tunafichua maovu, uozo na taka taka zoote wanazofanya watu wasio na staha. Unapicha yoyote habari yoyote ya washenzi wa tabia, tucheki tuwaanikeGoogle+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 BONGO MAGAZINE 1. by Mdakuzi
Proudly Powered by Blogger.
back to top