Showing posts with label siasa. Show all posts
Showing posts with label siasa. Show all posts

Thursday, 5 September 2013

Ni aibu nyingine ndani ya bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania baada ya vurugu kubwa kutokea Bungeni leo, ambapo askari wa Bunge walikuwa wakivutana na Wabunge wa kambi ya upinzani waliokuwa wakipinga amri ya Naibu Spika ya kumtoa nje kiongozi wa kambi ya upinzania Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe.
Vurugu kubwa zimetokea Bungeni hivi sasa mara baada ya Naibu Spika kutoa amri ya kutolewa nje kwa kiongozi wa kambi ya upinzania Bungeni Freeman Mbowe ambapo wabunge wa kambi ya upinzani hawakukubaliana na amri hiyo.
Chanzo cha kutolewa kwa amri hiyo ni kutokana na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe kusimama na kuanza kuzungumza pasipo kupewa ruhusa ili apinge uamuzi wa kura zilizopigwa na Wabunge ambapo Bunge lilipiga kura ya kuuondoa mjadala wa mswada wa katiba au ubaki ambapo wabunge 56 walisema mjadala huo uondolewe na Wabunge 159 walisema mjadala huo uendelee kwani ulishapita kwenye hatua mbalimbali.
Mara baada ya zoezi la upigaji kura kuisha Naibu Spika Job Ndugai aliendelea na utaratibu wa Bunge ambapo alimsimamisha Mhe. Mrema achangie mjadala na wakati huo huo Mhe. Mbowe naye alisimama kupinga uamuzi wa Naibu Spika na ndipo alipotoa amri kwa askari wa Bungeni wamtoe nje ya ukumbi wa Bunge na walifanikiwa kumtoa nje mara baada ya mvutano mkali kati ya Wabunge wa kambi ya upinzania dhidi ya polisi. Kwa maoni ya watanzania wengi imefika mahali ambapo ina bidi wabunge waweke maslahi ya taifa mbele. Hivi walichogomea upinzani kina maslahi yapi au hasara zipi kwa taifa? mmoja ya watazamaji wa bunge alihoji. Kuna mambo yanahitaji busara na uelewa ili maafikiano ya hoja yafikiwe aliongeza. Imefika mahali ushabiki usio na tija kwa watanzania tuachane nao. Hata hivyo bunge liliendelea na mjadala wa muswada wa marekebisho ya sheria ya utungwaji katiba mpya. 
Wakati huohuo mbunge wa vunjo mh. Mrema akichangia hoja hiyo ameweka wazi kwanini yeye hakutoka jana wala leo wakati kambi ya upinzani ikitoka bungeni. Mh. Mrema amesema yeye yupo bungeni kuwawakilisha wananchi wa vunjo na watanzania hivyo haoni busara kutoka nje na kuacha hoja ya msingi.

KIONGOZI WA KAMBI YA UPINZANIA MH. FREEMAN MBOWE ATOLEWA BUNGENI LEO NA KUSABABISHA VURUGU KATI YA WABUNGE WA UPINZANI NA ASKARI WA BUNGE

Posted at  05:49  |  in  skendo  |  Read More»

Ni aibu nyingine ndani ya bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania baada ya vurugu kubwa kutokea Bungeni leo, ambapo askari wa Bunge walikuwa wakivutana na Wabunge wa kambi ya upinzani waliokuwa wakipinga amri ya Naibu Spika ya kumtoa nje kiongozi wa kambi ya upinzania Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe.
Vurugu kubwa zimetokea Bungeni hivi sasa mara baada ya Naibu Spika kutoa amri ya kutolewa nje kwa kiongozi wa kambi ya upinzania Bungeni Freeman Mbowe ambapo wabunge wa kambi ya upinzani hawakukubaliana na amri hiyo.
Chanzo cha kutolewa kwa amri hiyo ni kutokana na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe kusimama na kuanza kuzungumza pasipo kupewa ruhusa ili apinge uamuzi wa kura zilizopigwa na Wabunge ambapo Bunge lilipiga kura ya kuuondoa mjadala wa mswada wa katiba au ubaki ambapo wabunge 56 walisema mjadala huo uondolewe na Wabunge 159 walisema mjadala huo uendelee kwani ulishapita kwenye hatua mbalimbali.
Mara baada ya zoezi la upigaji kura kuisha Naibu Spika Job Ndugai aliendelea na utaratibu wa Bunge ambapo alimsimamisha Mhe. Mrema achangie mjadala na wakati huo huo Mhe. Mbowe naye alisimama kupinga uamuzi wa Naibu Spika na ndipo alipotoa amri kwa askari wa Bungeni wamtoe nje ya ukumbi wa Bunge na walifanikiwa kumtoa nje mara baada ya mvutano mkali kati ya Wabunge wa kambi ya upinzania dhidi ya polisi. Kwa maoni ya watanzania wengi imefika mahali ambapo ina bidi wabunge waweke maslahi ya taifa mbele. Hivi walichogomea upinzani kina maslahi yapi au hasara zipi kwa taifa? mmoja ya watazamaji wa bunge alihoji. Kuna mambo yanahitaji busara na uelewa ili maafikiano ya hoja yafikiwe aliongeza. Imefika mahali ushabiki usio na tija kwa watanzania tuachane nao. Hata hivyo bunge liliendelea na mjadala wa muswada wa marekebisho ya sheria ya utungwaji katiba mpya. 
Wakati huohuo mbunge wa vunjo mh. Mrema akichangia hoja hiyo ameweka wazi kwanini yeye hakutoka jana wala leo wakati kambi ya upinzani ikitoka bungeni. Mh. Mrema amesema yeye yupo bungeni kuwawakilisha wananchi wa vunjo na watanzania hivyo haoni busara kutoka nje na kuacha hoja ya msingi.

Thursday, 4 July 2013


Watch this video

What comes next in Egypt?

STORY HIGHLIGHTS
  • Morsy ousted after rejecting army ultimatum to resolve the crisis within 48 hours
  • Christiane Amanpour: "There's very little you can call it other than a coup"
  • Some analysts are warning of a potential extremist backlash against recent events
  • Ben Wedeman: "There's not going to be that quiet after the storm this time around"
(CNN) -- After days of mass demonstrations, Egypt's military finally ousted Mohamed Morsy, the country's first democratically elected president, in the country's second revolution in two years.
Morsy, a Western-educated Islamist aligned with the Muslim Brotherhood movement, had rejected an ultimatum delivered by the military to resolve the crisis within 48 hours, creating a stand-off with the military, the most powerful institution in the country. In a televised speech to the nation, Egypt's top military officer, Gen. Abdel-Fatah El-Sisi, said Morsy "did not achieve the goals of the people" during his single year in office.
Who runs Egypt now?
El-Sisi said that Adly Mansour, head of the country's Supreme Constitutional Court, will replace Morsy as Egypt's interim president. Mansour is expected to be sworn in on Thursday. The road map announced by El-Sisi also includes suspending and rewriting the constitution introduced after former dictator Hosni Mubarak's ouster, and holding new parliamentary and presidential elections at a later, unspecified date.
Who is Adly Mansour?
The 67-year-old judge only became the head of Egypt's Supreme Constitutional Court on Monday, and was named as the country's new interim president just two days later. He was appointed vice president of the court in 1992, serving during Mubarak's nearly 30-year rule. CNN's chief international correspondent Christiane Amanpour said that, according to one former military official, Mansour could serve between 9 to 12 months in an interim role.
Egypt: Battle over word 'coup'
Muslim Brotherhood: Protests won't stop
'Morsy called military's bluff'
Obama: Return to civilian rule
How have the Egyptian people reacted?
The news has been met with jubilation and fireworks in Tahrir Square in central Cairo, where hundreds of thousands had turned out in recent days demanding Morsy leave office. Their complaints ranged from concerns about the Muslim Brotherhood's Islamic agenda being brought to bear on the nation's laws, to frustration with his government's failure to address high unemployment, crime and living costs.
But Morsy, who was elected as president with 52% of the vote last year, retains a substantial support base, which has congregated at rallies in places like Nasr City in Cairo. The pro-Morsy camp has decried the army's move as an illegitimate coup and refused to accept its validity, while Morsy himself has declared that he is still president.
CNN senior international correspondent Ben Wedeman, a former Cairo bureau chief who has been covering the crisis, said one protester at a pro-Morsy rally had told him he felt demonstrators would stay there "until Mohamed Morsy is once again president of Egypt." Despite the euphoria in Tahrir, said Wedeman, "There's a significant portion of the Egyptian population -- I wouldn't suggest it's a majority -- who are very upset at what has happened."
As news of the coup broke, clashes were reported throughout the country, with at least eight killed and 340 wounded. Political violence had rocked the country in the days leading up to the military takeover.
How are Morsy and the Muslim Brotherhood being treated?
The deposed president was arrested by presidential guards at their headquarters, and is being held under house arrest and "basically cut (off) from the world," Muslim Brotherhood spokesman Gehad El-Haddad told CNN. "They cut all his access, all his calls. No one is meeting him," he said.
According to reports, the military has also begun rounding up members of the Muslim Brotherhood, the long-repressed political movement that propelled the deposed president to office. State-run newspaper Al-Ahram reported 300 members of the Muslim Brotherhood were being sought by police, and El-Haddad said the Muslim Brotherhood's Freedom and Justice Party chief, Saad el-Katatni, and his deputy, Rashad Al-Bayoumi, had been arrested.
Has anyone else been affected in the crackdown?
Arabic satellite network Al Jazeera reported its Cairo studios were raided during a live broadcast and its presenter, guests and producers detained, after broadcasting a taped statement from Morsy.
How is Morsy's Islamist base likely to respond?
Morsy has called for dialogue and appealed to his supporters to demonstrate peacefully, but observers fear the army's actions could trigger a violent response.
Egyptian envoy: Not a coup
Victory, or 'a sad day' for Egypt?
What will new Egypt look like?
Morsy critic backs 'new road map'
Wedeman said there was a danger that some members of the Muslim Brotherhood would become disenfranchised and "challenge (Egypt's new leaders) with violence. They may take the attitude of 'we tried to play the game, our leaders were jailed, our media have been shut down ... so we're going to destroy the system,'" he said. He felt the mood appeared more volatile than after Mubarak's ouster in 2011. "There's not going to be that quiet after the storm this time around," he said.
Mohammed Ayoob, Michigan State University professor emeritus of international relations, wrote an opinion piece for CNN.com warning of a potential extremist backlash to the coup. "The major lesson that Islamists in the Middle East are likely to learn from this episode is that they will not be allowed to exercise power no matter how many compromises they make in both the domestic and foreign policy arenas." He added: "This is likely to push a substantial portion of mainstream Islamists into the arms of the extremists who reject democracy and ideological compromise."
Telling CNN's Anderson Cooper that the pro-Morsy protests would remain on the streets, Muslim Brotherhood spokesman El-Haddad reiterated his movement's commitment to non-violence, but hinted at the frustrations felt by his camp. "At the end of the day, we are committed to democracy and to peaceful change of power. But if the road to democracy every time ... gets derailed ... what other option are the people left with?"
What has been the reaction internationally?
U.S. President Barack Obama has expressed his country's "deep concern" over the toppling of a democratically elected leader and the suspension of the constitution, and said he would instruct officials to review aid contributions to Egypt as a result. But as CNN's Jake Tapper pointed out, Obama's statement was telling in that he did not use the word "coup," and in that he called on the Egyptian military to restore power to "a democratically elected civilian government" -- but not explicitly Morsy's.
U.N. Secretary-General Ban Ki-moon also called for a quick return to civilian rule, appealing for "calm, non-violence, dialogue and restraint." By contrast, Saudi Arabia and the UAE both issued statements congratulating the Egyptian military for their actions.
'Correction' or 'coup'?
The military's actions have been decried as a coup by Morsy supporters but celebrated as a "correction" and an expression of the popular will by his opponents. The issue of definition is critical, as Amanpour pointed out, with ramifications in terms of how the international community responds to the situation.
But, she said, "if it's proven and true that they're running around issuing arrest warrants for all these people, attacking and closing down various media outlets, there's very little you can call it other than a coup.
"As one analyst said to me... no matter what it's called... it's umpired by the army... It's the army in charge no matter who they put there (in charge)."
The situation was "a paradox," she added. "Here you have the first elected government -- which obviously didn't perform as the people wanted -- now being drummed out by the military called upon by so many millions of Egyptians."

Egypt's coup: Morsi is no longer in power

Posted at  02:19  |  in  siasa  |  Read More»


Watch this video

What comes next in Egypt?

STORY HIGHLIGHTS
  • Morsy ousted after rejecting army ultimatum to resolve the crisis within 48 hours
  • Christiane Amanpour: "There's very little you can call it other than a coup"
  • Some analysts are warning of a potential extremist backlash against recent events
  • Ben Wedeman: "There's not going to be that quiet after the storm this time around"
(CNN) -- After days of mass demonstrations, Egypt's military finally ousted Mohamed Morsy, the country's first democratically elected president, in the country's second revolution in two years.
Morsy, a Western-educated Islamist aligned with the Muslim Brotherhood movement, had rejected an ultimatum delivered by the military to resolve the crisis within 48 hours, creating a stand-off with the military, the most powerful institution in the country. In a televised speech to the nation, Egypt's top military officer, Gen. Abdel-Fatah El-Sisi, said Morsy "did not achieve the goals of the people" during his single year in office.
Who runs Egypt now?
El-Sisi said that Adly Mansour, head of the country's Supreme Constitutional Court, will replace Morsy as Egypt's interim president. Mansour is expected to be sworn in on Thursday. The road map announced by El-Sisi also includes suspending and rewriting the constitution introduced after former dictator Hosni Mubarak's ouster, and holding new parliamentary and presidential elections at a later, unspecified date.
Who is Adly Mansour?
The 67-year-old judge only became the head of Egypt's Supreme Constitutional Court on Monday, and was named as the country's new interim president just two days later. He was appointed vice president of the court in 1992, serving during Mubarak's nearly 30-year rule. CNN's chief international correspondent Christiane Amanpour said that, according to one former military official, Mansour could serve between 9 to 12 months in an interim role.
Egypt: Battle over word 'coup'
Muslim Brotherhood: Protests won't stop
'Morsy called military's bluff'
Obama: Return to civilian rule
How have the Egyptian people reacted?
The news has been met with jubilation and fireworks in Tahrir Square in central Cairo, where hundreds of thousands had turned out in recent days demanding Morsy leave office. Their complaints ranged from concerns about the Muslim Brotherhood's Islamic agenda being brought to bear on the nation's laws, to frustration with his government's failure to address high unemployment, crime and living costs.
But Morsy, who was elected as president with 52% of the vote last year, retains a substantial support base, which has congregated at rallies in places like Nasr City in Cairo. The pro-Morsy camp has decried the army's move as an illegitimate coup and refused to accept its validity, while Morsy himself has declared that he is still president.
CNN senior international correspondent Ben Wedeman, a former Cairo bureau chief who has been covering the crisis, said one protester at a pro-Morsy rally had told him he felt demonstrators would stay there "until Mohamed Morsy is once again president of Egypt." Despite the euphoria in Tahrir, said Wedeman, "There's a significant portion of the Egyptian population -- I wouldn't suggest it's a majority -- who are very upset at what has happened."
As news of the coup broke, clashes were reported throughout the country, with at least eight killed and 340 wounded. Political violence had rocked the country in the days leading up to the military takeover.
How are Morsy and the Muslim Brotherhood being treated?
The deposed president was arrested by presidential guards at their headquarters, and is being held under house arrest and "basically cut (off) from the world," Muslim Brotherhood spokesman Gehad El-Haddad told CNN. "They cut all his access, all his calls. No one is meeting him," he said.
According to reports, the military has also begun rounding up members of the Muslim Brotherhood, the long-repressed political movement that propelled the deposed president to office. State-run newspaper Al-Ahram reported 300 members of the Muslim Brotherhood were being sought by police, and El-Haddad said the Muslim Brotherhood's Freedom and Justice Party chief, Saad el-Katatni, and his deputy, Rashad Al-Bayoumi, had been arrested.
Has anyone else been affected in the crackdown?
Arabic satellite network Al Jazeera reported its Cairo studios were raided during a live broadcast and its presenter, guests and producers detained, after broadcasting a taped statement from Morsy.
How is Morsy's Islamist base likely to respond?
Morsy has called for dialogue and appealed to his supporters to demonstrate peacefully, but observers fear the army's actions could trigger a violent response.
Egyptian envoy: Not a coup
Victory, or 'a sad day' for Egypt?
What will new Egypt look like?
Morsy critic backs 'new road map'
Wedeman said there was a danger that some members of the Muslim Brotherhood would become disenfranchised and "challenge (Egypt's new leaders) with violence. They may take the attitude of 'we tried to play the game, our leaders were jailed, our media have been shut down ... so we're going to destroy the system,'" he said. He felt the mood appeared more volatile than after Mubarak's ouster in 2011. "There's not going to be that quiet after the storm this time around," he said.
Mohammed Ayoob, Michigan State University professor emeritus of international relations, wrote an opinion piece for CNN.com warning of a potential extremist backlash to the coup. "The major lesson that Islamists in the Middle East are likely to learn from this episode is that they will not be allowed to exercise power no matter how many compromises they make in both the domestic and foreign policy arenas." He added: "This is likely to push a substantial portion of mainstream Islamists into the arms of the extremists who reject democracy and ideological compromise."
Telling CNN's Anderson Cooper that the pro-Morsy protests would remain on the streets, Muslim Brotherhood spokesman El-Haddad reiterated his movement's commitment to non-violence, but hinted at the frustrations felt by his camp. "At the end of the day, we are committed to democracy and to peaceful change of power. But if the road to democracy every time ... gets derailed ... what other option are the people left with?"
What has been the reaction internationally?
U.S. President Barack Obama has expressed his country's "deep concern" over the toppling of a democratically elected leader and the suspension of the constitution, and said he would instruct officials to review aid contributions to Egypt as a result. But as CNN's Jake Tapper pointed out, Obama's statement was telling in that he did not use the word "coup," and in that he called on the Egyptian military to restore power to "a democratically elected civilian government" -- but not explicitly Morsy's.
U.N. Secretary-General Ban Ki-moon also called for a quick return to civilian rule, appealing for "calm, non-violence, dialogue and restraint." By contrast, Saudi Arabia and the UAE both issued statements congratulating the Egyptian military for their actions.
'Correction' or 'coup'?
The military's actions have been decried as a coup by Morsy supporters but celebrated as a "correction" and an expression of the popular will by his opponents. The issue of definition is critical, as Amanpour pointed out, with ramifications in terms of how the international community responds to the situation.
But, she said, "if it's proven and true that they're running around issuing arrest warrants for all these people, attacking and closing down various media outlets, there's very little you can call it other than a coup.
"As one analyst said to me... no matter what it's called... it's umpired by the army... It's the army in charge no matter who they put there (in charge)."
The situation was "a paradox," she added. "Here you have the first elected government -- which obviously didn't perform as the people wanted -- now being drummed out by the military called upon by so many millions of Egyptians."

Nelson Mandela is in a "perilous" condition on life support in hospital, leaked court documents showed Wednesday.
The bleak assessment of the anti-apartheid icon's health came in papers submitted by his relatives on June 28 as part of legal efforts to retrieve the remains of three of Mandela's children.
"The anticipation of his impending death is based on real and substantial grounds. The applicants are desirous of burying their father and committing him to the earth in which his descendants' remains lie," according to court papers quoted by the Mail & Guardian and other media.
"Nelson Mandela's health is perilous. (An) affidavit will be provided from physicians that he is assisted in breathing by a life support machine," it added.
Mandela, 94, has been in intensive care in a hospital in Pretoria since June 8 when he was admitted with a recurring lung infection.
The presidency has said his condition is "critical but stable" but has released few details of his illness.
A clan elder told AFP on Wednesday of last week that Mandela was on a ventilator. But South African President Jacob Zuma said the next day that his health had improved.
Mandela led the struggle against white-minority rule in South Africa and became the country's first black president after multiracial elections in 1994, following 27 years in prison.
A court in the city of Mthatha on Wednesday ordered the remains of three of Mandela's children to be immediately returned to his childhood village of Qunu.
His oldest grandson Mandla had them moved in 2011 to Mvezo, about 30 kilometres (20 miles) away, allegedly without the rest of the family's consent.

Nelson Mandela Health 'Perilous' According To Leaked Court Documents

Posted at  01:25  |  in  siasa  |  Read More»

Nelson Mandela is in a "perilous" condition on life support in hospital, leaked court documents showed Wednesday.
The bleak assessment of the anti-apartheid icon's health came in papers submitted by his relatives on June 28 as part of legal efforts to retrieve the remains of three of Mandela's children.
"The anticipation of his impending death is based on real and substantial grounds. The applicants are desirous of burying their father and committing him to the earth in which his descendants' remains lie," according to court papers quoted by the Mail & Guardian and other media.
"Nelson Mandela's health is perilous. (An) affidavit will be provided from physicians that he is assisted in breathing by a life support machine," it added.
Mandela, 94, has been in intensive care in a hospital in Pretoria since June 8 when he was admitted with a recurring lung infection.
The presidency has said his condition is "critical but stable" but has released few details of his illness.
A clan elder told AFP on Wednesday of last week that Mandela was on a ventilator. But South African President Jacob Zuma said the next day that his health had improved.
Mandela led the struggle against white-minority rule in South Africa and became the country's first black president after multiracial elections in 1994, following 27 years in prison.
A court in the city of Mthatha on Wednesday ordered the remains of three of Mandela's children to be immediately returned to his childhood village of Qunu.
His oldest grandson Mandla had them moved in 2011 to Mvezo, about 30 kilometres (20 miles) away, allegedly without the rest of the family's consent.

Friday, 10 May 2013



Jana nimebahatika kuisikiliza vyema taarifa fupi (KUNTU) iliyotolewa na mlezi wetu mkuu wa kiroho KARDINALI) ya kuujulisha umma ni nini kilichotokea kupitia chombo chake cha habari TUMAINI. Tunashukuru kwa taarifa yake hiyo ambayo kwa jinsi ilivyotolewa, nina hakika ilifanyiwa kazi ya kina kabla ya kuletwa hadharani.


Kwanza kabisa nashawishika kwa ukurasa wa awali kukubaliana na taarifa yake hiyo kutokana na imani yangu kuu kwake, na inavyojulikana kwa wachache kuwa kada ya UPAPA na UKARDINALI ni kada ambazo wanaozifikia pia wamepitia mambo ya kiintelijensia!


Tunashawishika kuamini hivyo kutokana na jinsi kiongozi huyu wa kiroho ambavyo ameweza kutoa ripoti yake ya kiintrijensia ndani ya chini ya masaa 24! Amesema suala hili lisihusishwe kwa aina yoyote ile na dini au itikadi ya uislamu bali waliofanya kitendo hicho ni WAKRISTO tena wa KANISANI hapo! Na kwa msisitizo akasema kuwa anao uhakika wa kile anachokisema!


Sasa inamaana kwa uweza wa kimungu ambao mtumishi huyu anao na ule wa uintelijensia alionao ameweza kuwasaidia hata polisi wetu kumaliza kazi ya upelelezi katika muda mfupi sana! Sasa kuna haja gani ya kuleta tena CIA? Na kama amesisitiza kuwa taarifa yake aliyoitoa ndiyo ya mwisho, kuna haja gani ya kuwashikilia hao watu wengine, si yeye apelike hiyo ripoti yake polisi ili kazi iwe fupi na amani irejee mioyoni mwa watu na kukata vilimilimi vya watu wengine ambao wanataka kupata umaarufu kupitia SAGA hilo?!


Lakini tukija katika upande wa pili, Je, hatuoni kuwa mtumishi wetu huyu amewahi saaaaaaaaaaaaaaana kutoa ripoti yake hiyo ambayo inaonekana kama hitimisho la SAGA lenyewe?!


Na, Je, kama itatokea ikaja kuapatikina ripoti nyingine tofauti na hii tuliyoaminishwa na mtumishi wa mungu, Je, tutamwamini nani?


Maswali yapo mengi sana kuliko yale ya papo kwa papo ya Waziri mkuu, lakini katika hili nafikiri TAFAKARI ya kina ilitakiwa ichukuliwe kabla ya taarifa hii kutolewa.


TAFAKARI ZAIDI.

Kauli ya Kardinali imeacha maswali mengi kuliko majibu.

Posted at  08:42  |  in  skendo  |  Read More»



Jana nimebahatika kuisikiliza vyema taarifa fupi (KUNTU) iliyotolewa na mlezi wetu mkuu wa kiroho KARDINALI) ya kuujulisha umma ni nini kilichotokea kupitia chombo chake cha habari TUMAINI. Tunashukuru kwa taarifa yake hiyo ambayo kwa jinsi ilivyotolewa, nina hakika ilifanyiwa kazi ya kina kabla ya kuletwa hadharani.


Kwanza kabisa nashawishika kwa ukurasa wa awali kukubaliana na taarifa yake hiyo kutokana na imani yangu kuu kwake, na inavyojulikana kwa wachache kuwa kada ya UPAPA na UKARDINALI ni kada ambazo wanaozifikia pia wamepitia mambo ya kiintelijensia!


Tunashawishika kuamini hivyo kutokana na jinsi kiongozi huyu wa kiroho ambavyo ameweza kutoa ripoti yake ya kiintrijensia ndani ya chini ya masaa 24! Amesema suala hili lisihusishwe kwa aina yoyote ile na dini au itikadi ya uislamu bali waliofanya kitendo hicho ni WAKRISTO tena wa KANISANI hapo! Na kwa msisitizo akasema kuwa anao uhakika wa kile anachokisema!


Sasa inamaana kwa uweza wa kimungu ambao mtumishi huyu anao na ule wa uintelijensia alionao ameweza kuwasaidia hata polisi wetu kumaliza kazi ya upelelezi katika muda mfupi sana! Sasa kuna haja gani ya kuleta tena CIA? Na kama amesisitiza kuwa taarifa yake aliyoitoa ndiyo ya mwisho, kuna haja gani ya kuwashikilia hao watu wengine, si yeye apelike hiyo ripoti yake polisi ili kazi iwe fupi na amani irejee mioyoni mwa watu na kukata vilimilimi vya watu wengine ambao wanataka kupata umaarufu kupitia SAGA hilo?!


Lakini tukija katika upande wa pili, Je, hatuoni kuwa mtumishi wetu huyu amewahi saaaaaaaaaaaaaaana kutoa ripoti yake hiyo ambayo inaonekana kama hitimisho la SAGA lenyewe?!


Na, Je, kama itatokea ikaja kuapatikina ripoti nyingine tofauti na hii tuliyoaminishwa na mtumishi wa mungu, Je, tutamwamini nani?


Maswali yapo mengi sana kuliko yale ya papo kwa papo ya Waziri mkuu, lakini katika hili nafikiri TAFAKARI ya kina ilitakiwa ichukuliwe kabla ya taarifa hii kutolewa.


TAFAKARI ZAIDI.












TAZAMA PICHA ZA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI DAR ES SALAAM ULIPOFIKIA

Posted at  08:22  |  in  siasa  |  Read More»












Sunday, 17 March 2013

 

.
.
DSC02620
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

KURASA ZA MWANZO NA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO MARCH 17 2013 ZIKO HAPA.

Posted at  07:16  |  in  skendo  |  Read More»

 

.
.
DSC02620
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Wednesday, 26 December 2012

 

Posted: 27th December 2012 by Ismail Zuberi in News
 
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

YASEMAVYO MAGAZETI LEO DECEMBER 27

Posted at  22:50  |  in  skendo  |  Read More»

 

Posted: 27th December 2012 by Ismail Zuberi in News
 
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 BONGO MAGAZINE 1. by Mdakuzi
Proudly Powered by Blogger.
back to top