Baada ya millardayo.com
kuripoti stori ya Barnaba feki aliepanda kwenye stage kuimba huko Karatu
kusababisha fujo na watu kudhamiria kumjeruhi baada ya kugundua ni
feki, mtu wangu wa nguvu Yusufu Msaliko amenitumia picha iliyoambatana
na hii msg.
Picha hizo ni za msanii barnaba
joseph aliefanya show karatu arusha na watu wakadhani kuwa ni Barnaba
boy wa THT, picha nyingine ni meneja alieandaa show hiyo bwana EmanuelL
Mgaiwa wa Arusha ambae anasema aliandaa show kwa ajili ya Barnaba boy
original lakini cha kushangaza alikuja barnaba joseph, yeye mwenyewe
alikuja hakujua kama yule ni barnaba feki mpaka vurugu zilivyoanza
majira ya saa 8 usiku.
namba ya msanii huyo barnaba
joseph na namba ya ya meneja huyo ziko hapo na namba ya mwenye ukumbi
mahali show hiyo ilfanyika pub la Mote.
Msanii huyo anafanya kazi mjini
arusha na ana ngoma zake kibao kama rudi ft Nasra..na wanaponda
aliofanyia tetemesha records kwa kid bwoy.. anasema aliandaliwa show
akafanye lakini hakujua kama kule karatu watu wametangaziwa atakaekuja
ni Barnaba boy.
millardayo.com inafatilia ili kupata stori kamili kutoka kwa wahusika, asante sana Msaliko.
Barnaba origina
0 comments: