Sunday 11 November 2012

HIZI NDIO PICHA ZA HOTEL, MAKAO MAKUU YA CCM PAMOJA NA UKUMBI WA MIKUTANO INAYOTARAJIWA KUJENGWA DODOMA

Posted at  08:58  |  in  siasa


 Picha zinazoonyesha Michoro ya Ukumbi,Ofisi za Makao makuu na Hotel ya nyota tano.
 Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein akiwasili eneo la Makulu kwenye sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi za makao makuu, Ukumbi wa Mikutano na Hotel ya Hadhi ya nyota tano muda mfupi ulipita.

Share this post

Kuhusu Mdaku Orijino

Tunafichua maovu, uozo na taka taka zoote wanazofanya watu wasio na staha. Unapicha yoyote habari yoyote ya washenzi wa tabia, tucheki tuwaanikeGoogle+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 BONGO MAGAZINE 1. by Mdakuzi
Proudly Powered by Blogger.
back to top