Hadi sasa miili ya watu 18 imepatikana katika jengo la ghorofa 16 lililododondoka jana mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar es Salaam ila hadi sasa haijajulikana ni watu wangapi wanaosadikiwa kufunikwa na kifusi cha jengo hilo.
Rais Jakaya Kikwete toka jana na leo pia ametembelea eneo hilo na kuhakikisha juhudi utekelezaji mambo mbalimbali zinafanikiwa, pia Waziri mkuu Mizengo Pinda na viongozi wengine wamefika eneo la tukio.
0 comments: