.
Fergie amesema aliaibika
kutokana na hicho kitendo cha Rio lakini baadae aligundua ilitokana na
tatizo la mawasiliano ila kwa sasa tayari ameshafanya nae mazungumzo
hivyo sio ishu kubwa tena manake wameyamaliza ambapo Fergie amesema pia
kwamba Rio ataongezewa mkataba wa mwaka mmoja baada ya huu wa sasa
kuisha.
Ukiachia Rio Ferdinand ambae
mdogo wake Anthony Ferdinand wa QPR alikua na ishu ya ubaguzi kutoka kwa
John Terry hivi juzi, zaidi ya wachezaji 30 kwenye Premier League
wamepinga hiyo kampeni.
0 comments: