Imefahamka kuwa kile kipindi cha XXL cha clouds fm has katika ile segment maarufu ya Uheard! inayo endeshwa na Sud Brown imekua dili miongon mwa wasanii bongo hasa wale wa bongo fleva na bongo muvi,inasemekana wasanii hao wamekua wkifanya skendo then kwa mlango wa nyuma wanamtumia gossip cop kujiongezea umaarufu hapa nchini. Chanzo chetu cha habari kutoka kwa mmoja wasanii ambae hakutaka tumtaje jina lake amesema,baadhi yao tayari wamejitengezea jina hapa nchini kutokana na skendo mbalimbali, akiwataja baadhi ya wasanii hao ni Wema Sepetu, Diamond, Jackline Wolper na wengine wengi.
0 comments: